SAMATA NA ULIMWENGU KUZIVAA SIMBA, YANGA NA AZAM

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Tomas Ulimwengu wanataraji kuja nchini na timu yao ya TP Mazembe ya Congo DR.

Mabingwa mara nne Afrika, Tout Puissant Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanatarajiwa kuja kuweka kambi fupi Dar es Salaam kwa ajili ya Ligi ya Mabingwa Afrika hiyo itakuwa ni fursa nyingine ya Watanzania kuweza kuiona tena timu hiyo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS