SAMATA NA ULIMWENGU KUZIVAA SIMBA, YANGA NA AZAM
Mabingwa mara nne Afrika, Tout Puissant Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanatarajiwa kuja kuweka kambi fupi Dar es Salaam kwa ajili ya Ligi ya Mabingwa Afrika hiyo itakuwa ni fursa nyingine ya Watanzania kuweza kuiona tena timu hiyo