Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais NEC,leo
Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Lowassa Leo anatarajiwa kuchukua fomu ya Urais katika tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Chini ya Mwamvuli wa Umoja wa katiba ya Wananchi Ukawa.