Mafikizolo, Sauti Sol kukamua Dar

Onyesho kubwa la muziki la Party in The Park litakalofanyika jumamosi hii jijini Dar es Salaam

Nyota wa muziki wanaoiendesha Afrika, Mafikizolo kutoka Afrika Kusini, Sauti Sol kutoka Kenya na Ali Kiba kutoka Tanzania kati ya wengine wanatarajiwa kuandika historia mpya kwa upande wa tasnia ya burudani hapa Bongo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS