Frasha amuunga mkono Dr. Mutua

Frasha

Star wa muziki wa Genge, Frasha wa nchini Kenya amekuwa ni moja kati ya watu mashuhuri walioonesha wazi kumsapoti Gavana wa Machakos nchini humo, kufuatia kitendo chake cha kumwaga chozi hadharani mwishoni mwa wiki kwa madai ya kufitiniwa na wakubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS