Frasha amuunga mkono Dr. Mutua
Star wa muziki wa Genge, Frasha wa nchini Kenya amekuwa ni moja kati ya watu mashuhuri walioonesha wazi kumsapoti Gavana wa Machakos nchini humo, kufuatia kitendo chake cha kumwaga chozi hadharani mwishoni mwa wiki kwa madai ya kufitiniwa na wakubwa.

