Marehemu Shreekezy kusafirishwa Kenya kwa Maziko
Jitihada za kumsafirisha aliyekuwa aliyekuwa mdau wa burudani na rapa marehemu Shreekezy, kwenda huko nchini Kenya kwaajili ya maziko, zinaendelea kufanyika kupitia michango mbalimbali ambayo inakusanywa kupitia kundi la Navy Kenzo.

