Chibwa ampata Elephant man Chibwa wa Tanchy, staa wa muziki wa miondoko ya Dancehall nchini Tanzania Chibwa wa Tanchy, staa wa muziki wa miondoko ya Dancehall amejipanga kwa ujio wa rekodi kubwa kabisa aliyofanya na msanii wa kimataifa kutoka Jamaica, Elephant Man. Read more about Chibwa ampata Elephant man