Nitaunda serikali rafiki kwa Vijana-Lowassa
Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo,(CHADEMA) chini ya Mwamvuli wa UKAWA, Waziri Mkuu wa zamani Mh. Edward Lowassa amesema endapo watanzania watampa ridhaa ya kuiongoza nchi ataunda serikali itayokua rafiki kwa vijana