Wanawake msikubali kurubuniwa na wanasiasa: Regina

Mke wa mgombe wa nafasi ya Urais wa Chadema, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, Mama Regina Lowassa

Wanawake nchini wametakiwa wasikubali kurubuniwa na wanasiasa, bali wauone mwaka huu 2015 wa mabadiliko na kuiweka madarakani serikali sahihi, ili iweze kuwawekea mazingira mazuri ya kufanyia biashara zao, na kuwaboresha sekta ya Afya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS