UKAWA bado mkanganyiko Nkenge, Hakijaeleweka
Chama cha NCCR-Mageuzi Misenyi Mkoani Kegera ambacho kilipewa ridhaa ya kusimamisha mbunge katika jimbo la Nkenge kimeeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha vyama washirika wa UKAWA vya CHADEMA na CUF, kusimaisha wagombea ubunge katika jimbo hilo

