TMF kuwawezesha waandishi wa habari za uchunguzi

Mkurugenzi wa Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF) Bw. Ernest Sungura,

Mfuko wa vyombo vya habari nchini TMF utaanza kutoka ruzuku maalum kwa ajili ya kuwawezesha wanahabari za uchuguzi kuibua tuhuma za ufisadi na nyingine nzito kama vile kashfa za Escrow, Richmond au EPA

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS