UKAWA kukirudisha kiwanda cha chai Njombe

Mgombea Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Juma Duni Haji

UMOJA wa katiba ya wananchi UKAWA wamesema kuwa wakiingia madarakani wataanza kushugulikia kiwanda cha chai cha Ivyulu, Lupembe ambacho kimefungwa kutokana na mgomo wa wananchi kuchuma chai na kuwapo kwa kesi mahakamani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS