Washiriki All African games kurudi mikono mitupu

Wanamichezo wa hapa nchini waliokuwa wanachuana katika Michezo ya Africa wametoka mikono mitupu baada ya kufanya vibaya katika michezo mbalimbali waliyoshiriki katika fainali hizo zinazotarajiwa kumalizika kesho Jumamosi huko Kongo Brazaville.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS