Magufuli ataka Krismas isherehekewe kwa kazi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewatakia heri ya Sikukuu ya Krismasi watanzania huku akisisitiza kuendelea kushikamana na kufanya kazi kwa bidii. Read more about Magufuli ataka Krismas isherehekewe kwa kazi