Mkutano mkuu wa TFF waota mbawa

Nembo ya shirikisho la soka hapa nchini TFF

Mkutano Mkuu wa kawaida wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) uliokuwa ufanyike Tanga ikiwamo shughuli ya uwekaji jiwe la msingi kwenye kiwanja cha TFF jijini Tanga sasa umeahirishwa kwa muda usiojulikana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS