Mkutano mkuu wa TFF waota mbawa Nembo ya shirikisho la soka hapa nchini TFF Mkutano Mkuu wa kawaida wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) uliokuwa ufanyike Tanga ikiwamo shughuli ya uwekaji jiwe la msingi kwenye kiwanja cha TFF jijini Tanga sasa umeahirishwa kwa muda usiojulikana. Read more about Mkutano mkuu wa TFF waota mbawa