Waziri Mkuu atumbua jipu jengine Kigoma

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Issa Machibya

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa siku 2 kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Eng. John Ndunguru kukamilisha uchunguzi wake na kumpatia taarifa ya maandishi juu ya tuhuma ubadhirifu wa fedha za umma unaohusisha uuzwaji wa jengo na viwanja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS