Kipindupindu bado tishio la Maisha Tanzania-Azma

Mtaalamu wa afya ya jamii ya epodemiolojia Dk Azma Simba kutoka wizara ya afya (Mwenye t-shirt Nyeusi) akiwaeleza jambo wataalam wa Afya kutoka nje

Serikali imesema kuwa Licha ya juhudi za wadau wa kimataifa na serikali, ugonjwa wa kipindupindu bado umeendelea kuuwa watu wengi nchini Tanzania huku changamoto kubwa ikibainishwa kuwa watu kutozingatia usafi wa mazingira na kanuni za Afya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS