Waandishi wa habari 110 wauawa duniani mwaka 2015 Jumla ya waandishi wa habari 110, waliuawa duniani kote katika kipindi cha mwaka 2015, hiyo ikiwa ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la maripota wasio na mipaka (RSF) . Read more about Waandishi wa habari 110 wauawa duniani mwaka 2015