Watanzania wamtegemea Samatta Tuzo za Afrika
Macho na Masikio ya watanzania yako Nigeria ambako tuzo ya Mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani inatolewa leo huku Straika wa Tanzania na TP Mazembe akipewa nafasi kubwa ya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda tuzo hiyo kubwa barani Afrika.