Profesa Jay ashinda kesi
Mahakama Kuu kupitia Mheshimiwa Jaji IGNAS KITUTSI asubuhi ya leo imetupilia mbali maombi madogo ya kesi ya kuomba kupunguziwa gharama za dhamana ya kesi iliyofunguliwa na mwanasiasa Jonas Nkya dhidi ya msanii/mbunge Joseph Haule (Profesa Jay).