Profesa Jay ashinda kesi

Professa Jay na Wakili wake Tundu Lissu

Mahakama Kuu kupitia Mheshimiwa Jaji IGNAS KITUTSI asubuhi ya leo imetupilia mbali maombi madogo ya kesi ya kuomba kupunguziwa gharama za dhamana ya kesi iliyofunguliwa na mwanasiasa Jonas Nkya dhidi ya msanii/mbunge Joseph Haule (Profesa Jay).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS