Tutaendeleza operesheni kuimarisha usalama-Kova

Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linawashikilia watuhumiwa 353 kwa tuhuma za makosa mbalimbali ikiwemo ujambazi wa kutumia silaha, wizi, Usafarishaji madawa ya kulevya na makosa mengine ya kihalifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS