Uswisi yaahidi kuendeleza ushirikiano na Tanzania

Balozi wa Uswis nchini Tanzania Mhe. Florence Tinguely Mattl akisaini kitabu.

Uswisi imeahidi kuendeleza ushirikiano na Tanzania katika nyanja mbalimbali za maendeleo huku mkazo mkubwa ukiuelekeza katika kuendeleza elimu ya mafunzo ya ufundi stadi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS