Ndemla kutimkia TP Mazembe kwenye majaribio

Kiungo wa Klabu ya Simba SC Said Ndemla

Kiungo kinda wa klabu ya Simba Said Ndemla, anatarajia kwenda kufanya majaribio kwenye kikosi cha TP Mazembe ya DR Congo ili kusaka nafasi ya kucheza soka katika klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS