Tanzania yafanikiwa kutokomeza ukeketaji

Mtaalam wa Masuala ya Idadi ya Watu toka UNFPA, Bibi Christine Mwanukuzi-Kwayu (Kushoto) akizungumza wakati alipofuatana na Kaimu Mwakilishi Mkazi wa UNFPA

Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa idadi ya watu, UNFPA limesema mpango wa miaka kumi wa harakati za kutokomeza ukeketaji wa watoto wa kike na wanawake, FGM nchini humo umekuwa na mafanikio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS