TBF kupeleka vijana wengi kucheza nje ya nchi
Shirikisho la Mpira wa Kikapu TBF limesema linajitahidi kuhakikisha wanatoa vijana wengi kwa ajili ya kucheza nje ya nchi ili kuweza kupata vijana wengi zaidi ambao wataweza kuitangaza nchi kwa kutumia mchezo huu kama alivyofanya Hasheem Thabit.

