Sitaidharau TP Mazembe - Mbwana Samatta

Samatta akikabidhiwa jezi tayari kuitumikia Klabu yake Mpya ya Genk ya nchini Ubelgiji

Mara baada ya kukamilisha taratibu zote za kujiunga na klabu ya Genk,nyota Mbwana Samatta amesema alikuwa anahisi anakuwa chizi baada ya dili hilo kukamilika ambalo limeifanya ndoto yake ya kucheza soka la kulipwa barani Ulaya kukamilika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS