CUF msisusie uchaguzi, jipangeni - BAKWATA DSM BAKWATA mkoa wa Dar es salaam imewataka wazanzibari pamoja na vyama vyote vya siasa visiwani humo kushiriki uchaguzi mkuu wa marudio uliopangwa kufanyika tarehe 20 mwezi Machi mwaka huu. Read more about CUF msisusie uchaguzi, jipangeni - BAKWATA DSM