Kufikia Machi 30 kipindupindu kiwe historia-Ummy

Waziri wa Afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia,Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu

Viongozi wote kuanzia ngazi ya vijiji wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu hadi kufikia tarehe 30 Machi mwaka huu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS