Hatuwezi kuidharau Tanzania Prisons - Mwambusi
Kocha msaidizi wa Yanga Juma Mwambusi amesema watacheza kwa umakini na hawataidharau Prisons katika mchezo wa Mzunguko wa pili wa ligi kuu unaotarajiwa kuchezwa hapo kesho Uwanja wa Sokoine jijini mbeya.

