Eddie anastahili heshima zaidi ya Lupita - Nonini
Rapper mkongwe kwenye tasnia ya muziki nchini Kenya Hubert Nakitare maarufu kama Nonini, amewajia juu Wakenya wanaomsifia Lupita Nyong'o na kumuacha msanii mkongwe kutoka nchi hiyo aliyekuwa Hollywood Eddi Gathegi.

