Colonel: Nimekutana kimwili na Huddah mara 50 Colonel Moustapha Colonel Mustafa staa wa muziki anayefanya kazi zake za kimuziki nchini Kenya amefunguka kuwa amesha fanya mapenzi na Huddah Monroe zaidi ya mara 50 kwa penzi lililodumu kwa muda wa wiki mbili pekee. Read more about Colonel: Nimekutana kimwili na Huddah mara 50