Hati ya ardhi unapewa ndani ya mwezi mmoja -Lukuvi

Waziri ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi William Lukuvi amesema Serikali ya awamu ya tano imeondoa urasimu katika upatikanaji wa umiliki wa ardhi ili kuwapa wananchi fursa yakuyaendeleza maeneo yao kwa wakati muafaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS