Asilimia 80 ya wafugaji hawana hati ya ardhi Waziri wa Mifugo, Kilimo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Nchemba amesema tayari serikali imeshaelekeza kamati za vijiji hadi mikoa yote nchini kupima maeneo na wayabainishe kwa ajili ya upimaji na umilikishwaji Read more about Asilimia 80 ya wafugaji hawana hati ya ardhi