Walimu wastaafu waomba kulipwa mafao yao

Katibu wa Chama cha Walimu Mkoa wa Arusha (CWT) Hassan Said

Walimu waliostaafu wameiomba serikali iwalipe mafao yao ya kustaafu kwa wakati pindi wanapostaafu ili waweze kukabiliana na hali ngumu ya maisha wanayokutana nayo baada ya kumaliza muda wao wa kutumikia ajira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS