Runinga zatakiwa kuweka wakalimani lugha za alama

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri mkuu anayeshughulikia walemavu nchini Tanzania Dkt. Abdalla Posi amevitaka vyombo vya habari nchini kuweka watafsiri wa lugha ya alama katika Luninga ili kuwasaidia watu wenye ulemavu kupata taarifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS