Waganda kuamua juu ya Rais wa taifa lao leo

Wananchi wa Uganda leo wanatimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua Rais na wabunge katika uchaguzi ambao wapiga kura milioni 15 wanatarajiwa kupiga kura katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS