Wajawazito hatarini kwa kukosa kituo cha Afya
Wakazi wa katika kijiji cha namba Nne wilayani Arumeru Magharibi wameiomba serikali kulitafutia ufumbuzi wa kudumu tatizo lao la ukosefu wa kituo cha afya, hivyo kuchangia wakina mama wajawazito kutohudhuria kliniki hali inayohatarisha maisha yao.
