Real Madrid yakwama kuifukuza Barcelona La Liga.

Beki wa Real Madrid Marcelo (kulia)akijaribu kupandisha mashambulizi .

Klabu ya soka ya Real Madrid kwa mara nyingine tena imetoshana nguvu na Malaga kufuatia sare ya 1-1 katika mchezo uliopigwa jana na kupelekea kuwa pointi tisa nyuma ya mahasimu wao Barcelona ambao walishinda dhidi La Palmas bao ya 2-1.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS