Nitakufa nikimaliza miaka niliyoandikiwa - Lulu
Msanii machachari anayefanya poa kwenye runinga za bongo kupitia filamu Elizabeth Michael au Lulu, amemuwakia mtu aliyepost kuwa amefariki na kuwataka watu wakaone picha za msiba wake, na kusema hafi mpaka siku za kwenye biblia ziishe.

