Dereva bodaboda auawa kikatili Dodoma

Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Alfred Msanjila (46) mkazi wa mtaa wa Mbwanga katika Manispaa ya Dodoma ameuawa kwa kuchomwa na vitu vyenye ncha kali mwilini na kisha kuporwa pikipiki yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS