Mabingwa Real Madrid wapokewa Kifalme Hispania
Maelfu ya mashabiki na wapenzi wa soka nchini Hispania wamewapokea mabingwa wa kihistoria wa klabu bingwa barani Ulaya Real Madrid ambao wamewasili hii leo wakitokea nchini Italia ambako walikwenda kucheza fainali ya kombe hilo dhidi ya Atletico.