Msenegal Mo Diame airejesha Hull City EPL

Mohamed Diame 'Mo' akishangilia bao lake la ushindi Sheffield.

Hatimaye klabu ya soka ya Hull City imefanikiwa kutwaa ubingwa wa mchuano wa mchujo [mtoano] maarufu kama Play off baada ya kuwachapa wapinzani wao timu ya Sheffield Wednesday katika fainali iliyopigwa jana usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS