Tanzania,Kenya na Uganda zawasilisha bajeti zao. Waziri wa fedha wa Kenya Henry Rotich Nchini Kenya Waziri wa Fedha, Henry Rotich jana amewasilisha bungeni bajeti ya makadirio ya matumizi ya pesa za serikali katika kipindi cha mwaka 2016-2017. Read more about Tanzania,Kenya na Uganda zawasilisha bajeti zao.