Marcus Rashford sasa rasmi kikosi cha Uingereza

Marcus Rashord akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Uingereza goli.

Kocha Roy Hodgson ametaja kikosi chake cha wachezaji 23 wa timu ya taifa ya Uingereza huku mchezaji kijana wa Manchester United, Marcus Rashford, akijumuishwa katika kikosi hicho kitakachocheza michuano ya Mabingwa wa Ulaya, Euro 2016.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS