Wakodi ghala la Mazao kufanya Zahanati Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makala Wakazi wa kijiji cha Izumbwe, kata ya Igale Wilayani Mbeya wamelazimika kukodi jengo ili litumike kama Zahanati baada ya Zahanati ya awali kuteketea kwa moto zaidi ya Miezi mitatu iliyopita. Read more about Wakodi ghala la Mazao kufanya Zahanati