Ttutawakamata wote waliofanya mauaji Tanga-Masauni

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akitoa maelekezo kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Leonard Paulo (kulia),

Serikali imesema kuwa itahakikisha kuwa inawakamata wote waliohusika na mauaji ya kinyama ya watu wanane Mkoani Tanga kwa kuwa ina mkono mrefu huku ikiwaomba wafiwa kuwa na subira katika kipindi ambacho serikali inafanya uchunguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS