Messi aibeba Argentina afikia rekodi ya Batistuta

Lionel Messi akishangilia bao lake alilowafunga Venezuela hii leo.

Rekodi mbalimbali ambazo amekuwa akiziweka na kuzifikia na kuzivunja katika klabu ya Catalunya FC Barcelona mshambuliaji raia wa Argentina Lionel Messi ameanza kufanya yake ndani ya kikosi cha nchi yake kinachoshiriki michuano ya Copa America

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS