Wapimeni Ulevi madereva wenu-Mpinga

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabara , Mohammed Mpinga,

Jeshi la Polisi limesema linachangamoto ya vifaa vya kupimia kiasi cha ulevi kwa madereva wa magari nchi hivyo wamewataka wamiliki wa vyombo vya moto ambao ni makampuni makubwa wawe na utaratibu wa kuwapima madereva kabla hawajaanza safari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS