Wenyeviti watimuliwa kwa wizi wa mbao za madawati

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (aliyevaa sweta) akikagua maendeleo ya utengenezaji madawati kwenye karakana zinazotengeneza madawati

Wakazi wa kijiji cha Mindola, kata ya Ilindi wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma, wamewatimua wenyeviti wa vitongoji vitatu kijijini hapo kwa tuhuma za wizi wa mbao 108 mali ya kijiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS