Magufuli amuahidi neema Mzee wa Upako

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amelitembelea Kanisa la Maombezi laMchungaji Antony Lusekelo (Mzee wa Upako) lililopo Ubungo Kibangu,na kuahidi waumini wa kanisa hilo kuwa Serikali yake itatengeneza barabara ya kutoka Ubungo Kibangu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS