Magufuli amuahidi neema Mzee wa Upako
Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amelitembelea Kanisa la Maombezi laMchungaji Antony Lusekelo (Mzee wa Upako) lililopo Ubungo Kibangu,na kuahidi waumini wa kanisa hilo kuwa Serikali yake itatengeneza barabara ya kutoka Ubungo Kibangu