Mambo mema yaendelee baada ya mfungo

Rapa Nikki wa Pili.

Rapa Nikki wa Pili kutoka kundi la Weusi amewataka watanzania kumalizika kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kusiwe mwisho wa kutenda mambo mema katika jamii yetu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS