Dance 100% 2016 kuanza Jumamosi na mengi mazuri

Maneja uhusiano wa Vodacom Tazania Bwn. Matina Nkurlu (wa katikati) akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam.

Shindano la Dance 100 linaloratibiwa na kampuni ya EATV linatarajia kuanza kwa kishindo katika viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es salaam ambapo mwaka huu ni msimu wa tano tangu kuanzishwa mwaka 2012.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS