Shughuli za kibinadamu tishio kwa mazingira-Suluhu
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan,
Tanzania leo imeungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya Mazingira ambapo changamoto kubwa imeonekana kuwa ni uharibifu mkubwa wa vyanzo vya maji jambo ambalo linatishia uhai wa taifa.