Sheria ya kuhasi wanaume wanaorudia kubaka yaja
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa itashauri iundwe sheria ya kuhasi wanaume wanaobainika kurudia matendo ya ubakaji na ulawiti mara baada ya kupewa adhabu ya kifungo cha miaka thelathini.