TPSF kuendelea kutafuta fursa za uwekezaji Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF,Godfrey Sembeye. Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), imesema itaendelea kuweka kipaumbele katika kutafuta fursa za uwekezaji kiuchumi na biashara kwa kuwa nchini nyingi duniani uchumi wake unakua kupitia sekta binafsi. Read more about TPSF kuendelea kutafuta fursa za uwekezaji