Azam FC kumaliza kambi kwa kupimana na Jang'ombe
Timu ya Azam FC itashuka kucheza mechi yake ya kirafiki na timu ya Jang’ombe uwanja wa Amaan ikiwa ni maandalizi ya mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Yanga utakaopigwa Agosti 17 uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

