50% ya watoto Tanzania wana magonjwa ya meno - TDA
Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania (TDA), wakati kikiadhimisha Siku ya Afya ya Kinywa na Meno Duniani mwaka huu kilibaini kuwa zaidi ya asilimia 50 ya watoto walio chini ya miaka 14, wanakabiliwa na magonjwa ya kinywa na meno.
